Posts

Showing posts from August, 2018

JAPANESE USED CAR

FOLLOW THE LINK below <a href="https://tracking.niji7.com/tracking?t=ed95f0c334a1f5afda360feed301275c492ce54af06970e268c5229b680d559c&ap_id=2001&eco_id=1&link_id=1" class="niji7-affiliate" alt="Japanese Used Cars | BE FORWARD"><img src="https://tracking-cdn.niji7.com/img/beforward_logo_468x60.jpg" class="niji7-affiliate-img" width="468" height="60"></a>

WATOTO WA DIGITALI

Image
BAADA YA BABA KUFIKA NYUMBANI MTOTO shikamo dad BABA    marahaba hujambo mwanangu MTOTO sijambo dad BABA    mbona unahuzuni saana MTOTO umenichelewesha kuangalia                       TV nilikuwepo nawaza BABA nisamehe mwanang njoo                              nikuwashie uangalie            Chanel yako kama kawaida MTOTO mbona umeweka katuni??? BABA ndo unazopendaga tom Na jelly MTOTO mi sitaki muda huu niwekee                      SIRI ZA FAMILIA BABA unasemaje?? UNAFAMILIA wwe tena nazima kacheze uko PUMBAVU 😂😂😂😂😂😂😂

IN THE BEDROOM

Writen BY Vincent Sylvester Juma welcom Anet thanks Juma come and sit Anet thanks Juma feel like your at home Anet Ok Juma May you take off your skirt Anet Yes i do Juma come closser Anet Yes í do Juma May i Kiss you Anet as you wish Juma your só sweet Anet thanks Juma May i touch your breast? Anet you May Juma Waooooo!!! Come and lie to ma                  bed Anet Mmmmmh Ok iam coming Juma take off all clothes Anet Ok i do Juma slowly start a fresh to her Anet  í feel like................!!!!!??! Hahaahhahah u like it subscribe for more STORY

FUATILIA MOVIE KALI ==>>BACK PASS

Coming soon

LAITI KAMA NINGEJUA

PART I Mzee yohana ni mzee mmoja katika mji wa runzewe mzee huyu amebahatika kupata mtoto mmoja aitwae Penina binti huyu kwa sababu ya kua mtoto pekee katika família ile alipendwa saana na wazazi wake na kila siku waliomba asije akajiunga na makundi mabovu ya vijana alimlea katika msingi ya dini saana na mzee huyu aliamini binti yake hawezi badilika baada ya kuhitimu Darasa la saba binti huyu alifaulu kujiunga na elimu ya sekondari kidato chá kwanza binti huyu wakati Huo ndo alikua anaanza kuingia utu uzima Yaaan kubarehe ndo kulikua kunaanza mtoto huyu alikua akisoma shule ya Day hapohapo runzewe sekondari Penina alikua ni mweupe kiasi maji ya kunde mrefu kidogo mwenye umbo na sura frani ya kuvutia kipindi kafika form 2 (kidato chá pili) alipata marafiki watatu yaani pili, janeti na Anita wakawa wanne mabinti hawa walipenda kutembea pamoja shuleni mpka mtaani ilipelekea kutambulishana katika familia zao wakawa kama ndugu wapendanao Na walijiita kundi lao jina lá UNSHAKABLE yaani h...

PENZI LA KISHIRIKINA

Katika kijiji cha mwalo kilichopo wilayani BUKOMBE mkoani geita tunakutana na mzee mmoja anae itwa mzee makele mzee huyu ni wa makomo amebahatika kupata watoto watano Yaani mbuke na wadogo zake wanne  binti huyu baada ya kuhitimu darasa la saba hakubahatika kuendlea na masomo ya sekondari akawa anawasaidia kazi za nyumbani wazazi wake ikiwemo kuchota maji kusenya kuni na kupikia familia yake Lakini pia katika kijiji hicho kulikua na mzee mwingine ajulikanae kama mzee simoni mzee huyu Ana watoto nane wawili wakiume na sita ni wakike katika familia hiyo kijana joshua alikua ndo kifungua mimba wa familia hiyo mzee huyu pia alikua mfugaji wa mifugo mbalimbali ikiwemo ng'ombe kondoo na mbuzi kijana joshua ndo alikua ukimsaidia babake kuwapeleka mifugo malishoni maisha yalikua yakiendlea kijana huyu alikua kahitimu darasa la saba Nae pia hakubahatika kuendlea na masomo ya sekondari     Kama ilivokua kawaida ya maisha yalivokua yakiendlea kila siku harakati za maisha zi...